Kassim mganga ft Mbosso – Salima Lyrics
“Salima lyrics BY Kassim mganga ft. Mbosso”
Salima aeeee
Salima wa mama
Salima pigo zako
Utanitaka lawama
Salima aeeee
Salima wa mama
Salima pigo zako
Utanitaka lawama
Kanijia na kanga
na mafuta ya karanga
anataka nikanda
kitandani kapanda ae
na shuka kajivinga ae
kiuno kakipinda
Salima lawama
Nitakabaruku kama noma iwe noma
tamu ya supu
na nyama zilizonona
Nitakabaruku kama noma iwe noma
Tamu ya supu
Na nyama zilizonona
Mali hiyooo
Itunze hiyooo oh oh oh oh
Mali hiyooo oh mama
Itunze hiyoo oh oh oh mmh
Kalowesha dera ndembendembe
Salima wa mama
Kwa nyuma kichogo madenge
Aki… akichutama
Salima kanipeleka pwani
Kanipeleka Zanzibar
Hadi Tanga kunani
Kunoa kisu ngariba
Utundu uo utundu uo
Utajavunja kitanda
Miguu juu iyoo miguu juu iyoo
Utachanika msamba
Usongo ae
Wa vumbi la kongo ae
Akipinda mugongo aee
Kama ana kibiongo
Nimekuita leo Salima
Tucheze kidumbaki
Neny’emua
Sasa huko wanipitisha wapi?
Utaniua
Sijazoeaa aah
Nitakabaruku kama noma iwe noma
tamu ya supu
na nyama zilizonona
Nitakabaruku kama noma iwe noma
Tamu ya supu
Na nyama zilizonona
Mali hiyooo
Itunze hiyooo oh oh oh oh
Mali hiyooo oh mama
Itunze hiyoo oh oh oh
Utaunguza yeeee
Utaunguza yeee
Utaunguza chungu
Na wali haujishika tandu
Waandazi wanalia jikoni
Maji, mate
Tepetepe, Tepetepe
Tepetepe, Tepetepe
Mi naogopa
Kula vya uwani maji maji
Tepetepe, Tepetepe
Tepetepe, Tepetepe